Categories
Christian Post Lyrics

What Willy Paul Sings In His New Song ‘Fanya’

Mabinti walinichanganya Nairobi mpaka mombasa
Kayole mpaka Dandora, Mathare mpaka Huruma
Ghetto mpaka Tribeka, ni kweli mimi awillie
Nilikuanga mziririe, walinitisha mabintire
hivi leo nimerudi-ee kwa mwenyezi-ree anisamehe

willy-paul-e1447236939376

Jalali nakumiss sanaa,
kukupenda ndio nataka kufanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa yanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa fanya

Walitap mic one, two, si mnafahamu yule Daudi-ee
alitenda madhambi eeh, lakini mungu ee alimpenda eeh
unamjua huyu Daudi-ee alikwendaa-re akapotea
leo leo narudi kwa Baba X2
nikikweli eeh mimi awillie, nilikuanga

Ni kweli mimi awillie
Nilikuanga mziririe,
walinitisha mabintire
hivi leo nimerudi-ee
kwa mwenyezi-ree anisamehe

Jalali nakumiss sanaa,
kukupenda ndio nataka kufanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa yanya
fafa fanya fafa fanya
fafa fanya fafa fanya

mhh kamata chini, na na na na
juu kwa juu na na na na na
siku za mwisho zimewadia
wangapi watarudi na mitendee kwake Babaa

oooh Halleluyah X5

Leave your vote

Ad Blocker Detected!

Please disable ad blocker to read our stories for Free

Refresh

Log In

Or with username:

Forgot password?

Don't have an account? Register

Forgot password?

Enter your account data and we will send you a link to reset your password.

Your password reset link appears to be invalid or expired.

Log in

Privacy Policy

Add to Collection

No Collections

Here you'll find all collections you've created before.