Categories
Lyrics

Lyrics : Pamoja By Zidi The Band

zidi band1

Here are the Lyrics Of Pamoja By Zidi The Band

Skiza bwana mkubwa wapiga domo bure. (buree)

Tembeza gari lako hadi kule ukaone. (ukaone)
Mipaka yateketea, jirani wahofia,
Ya kwamba tutaangamizana ukiangalia.

Tunaomba utusikize eh eh
Sisi Wakenya kutoka kotee X2

Nipe amani, nipe amani, nipe amani ili tuishi pamoja X2

Mbona wachochea mbona wakubalia,
Kutumika vibaya kuleta balaa,
Chuki na ukabila zaturudisha nyuma,
Haifai, Haifai iyee eeh eeh.

Tunaomba utusikizee, sisi wakenya kutoka kotee x2

Nipe amani, nipe amani, nipe amani ili tuishi pamoja x2

pamoja, pamoja, pamoja tuishi pamoja (repeat)

Ad Blocker Detected!

Please disable ad blocker to read our stories for Free

Refresh

Log In

Or with username:

Forgot password?

Don't have an account? Register

Forgot password?

Enter your account data and we will send you a link to reset your password.

Your password reset link appears to be invalid or expired.

Log in

Privacy Policy

Add to Collection

No Collections

Here you'll find all collections you've created before.