Categories
Gospel Lyrics Music

Here are the Lyrics of Nichukue By Mercy Masika

Below is the lyrics of Nichukue by Mercy Masika

Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
.
.
verse 1
Nikiwa nawe kama mwalimu,
ninajua nitahitimu,
nitashinda adui, akileta majaribu
unitayarishe, unibadilishe,
mtihani nipite, mwito nitimize,
nijue kuandika, niandike maono yangu,
nijue kuhesabu, nihesabu baraka zako ,
nijue kuongea , nihubiri neno lako oh ,
kwa watu wako
.
.
[refrain]
Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
.

verse 2
Shule yako hatudanganyi, ni ukweli na uwazi,
wanafaunzi hawagomi, mwalimu atujali,
unifunze mipango, wote niwaheshimu,
Yesu ni mwalimu, Yesu ni mwalimu
nijue kuandika, niandike maono yangu,
nijue kuhesabu, nihesabu baraka zako ,
nijue kuongea , nihubiri neno lako oh ,
kwa watu wako

.
[refrain]

Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
Baba nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
nichukue, nifunze, nataka kusoma,
kwa shule yako, kwa shule yako
+

Ad Blocker Detected!

Please disable ad blocker to read our stories for Free

Refresh

Log In

Or with username:

Forgot password?

Don't have an account? Register

Forgot password?

Enter your account data and we will send you a link to reset your password.

Your password reset link appears to be invalid or expired.

Log in

Privacy Policy

Add to Collection

No Collections

Here you'll find all collections you've created before.