Categories
Lyrics News

Lyrics Alert!! Mganga By Jemmimah Thiong’o

Lets  sing along to the lyrics of  Mganga (Healer) by Jemmimah Thiong’o

 

 

Nawatangazia mganga wangu Yesu, Ayeyeyeye

mganga wa kweli eh, njoni niwaonyeshe

Chorus:
Mimi nimemwona (mganga), nimemwona (mganga)

Nimemwona (Mganga wa waganga ni Yesu).

Verse 1:
Nasema nimemwona. Mganga wa waganga

Anayeinamiwa na waganga wote hata na wachawi pia

Wanaleta madawa yao hata na hirizi

Na wanatangaza maovu yote walotendea wanadamu

Huyu mganga, kazaliwa Bethlehemu

Kalelewa na  na zarati la ajabu ni mwana wa bikira

(Chorus)

Verse 2:
Jina la huyu mganga, kwa kweli lanishangaza

Kwa maana linalo nguvu nyingi kama mganga mwenyewe

Lilipotajwa na Petero, Tabitha akafufuka

Kiwete njiani akatembea kwa ajili la hilo jina

Paulo na Sila wakasifu kwa hilo jina

Milango ya gereza ikafunguka kwa jina la mganga Yesu

(Chorus)

Verse 3:
Nguo za huyu mganga, hata nazo zina nguvu

Mama aliyevuja damu alipenya katitati ya umati

Nguvu za upinde wa nguo, damu ikakatika

Yesu akamwambia imani yako ndiyo imekuponya

Baada ya kusulubiwa, nguo za huyu mganga

Hazingepasuliwa kwa bei yake ikapigiwa kura

(Chorus)

Ad Blocker Detected!

Please disable ad blocker to read our stories for Free

Refresh

Log In

Or with username:

Forgot password?

Don't have an account? Register

Forgot password?

Enter your account data and we will send you a link to reset your password.

Your password reset link appears to be invalid or expired.

Log in

Privacy Policy

Add to Collection

No Collections

Here you'll find all collections you've created before.